Tuesday, March 4, 2014

Al-Shabab latangaza mauaji kupitia FacebookAl-Shabab latangaza mauaji kupitia Facebook

89BEEF09-6C9D-41F4-B935-D97E37371E73_w640_r1_s_4b322.jpg
Kundi la wanamgambo wa Somalia Al-Shabab limesema limeuwa watu watatu ambao linawashutumu kwa kufanya upelelezi katika mashirika ya kijasusi ya Marekani au Somalia. Kundi hilo lenye uhusiano na al- Qaida lilitangaza mauaji hayo Jumanne katika ukurasa wake wa Facebook.
Soma zaidi...

0 comments:

Post a Comment